DKT. MAGUFULI ATOKWA NA MACHOZI HADHARANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanzia Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametokwa na machozi hadharani wakati akihutubia taifa  katika siku maalumu ya kutoa heshima za mwisho na kuaga kitaifa mwili wa  aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa. uwanja wa Uhuru Jijini Dar es slaam.




Post a Comment

0 Comments